Habari Mpya

Sunday, February 8, 2015

Ivory Coast mabingwa wa kombe la Afrika


Ivory Coast wamekuwa mabingwa wapya wa Kombe la Mataifa ya Afrika mwaka 2015 baada ya kufuinga Ghana kwa penalti 9 - 8 katika mchezo wa fainali ulichezwa katika uwanja wa Estadio de Bata huko Equatorial Guinea.
Mlinda Mlango wa Ivory Coast Boubacar Barry ambaye alikuwa hapangwi mara kwa mara lakini ndiye aliyeibeba Ivory Coast baada ya kudaka penati na kufunga penalti ya mwisho baada ya kutoka dakika 120 bila kufungana ndipo mikwaju ya penati ikachukua nafasi


  • Blogger Comments
  • Facebook Comments

0 comments:

Item Reviewed: Ivory Coast mabingwa wa kombe la Afrika Description: Rating: 5 Reviewed By: Unknown
Scroll to Top