Habari Mpya

Monday, August 18, 2014

TANGAZO MAALUM KWA WAHITIMU 1997 - 2014





                                TANGAZO MAALUM

KWA WAHITIMU WA:-

-      MOROGORO SCHOOL OF JOURNALISM
-      DAR ES SALAAM SCHOOL OF JOURNALISM
-      ROYAL COLLEGE OF TANZANIA

Wahitimu wote wa vyuo tajwa hapo juu waliohitimu kati ya 1997 – 2014 wanatakiwa kufika vyuoni kwao na kuchukua vyeti vyao kabla ya tarehe 30/07/2014.
Yeyote atakaye chelewa kufanya hivyo, cheti hakitatolewa bila gharama kuanzia tarehe 01/08/2014
Yeyote atakayesoma tangazo hili awaarifu wenzake na kwa maelezo zaidi kila mwanafunzi  awasiliane na Mkuu wa chuo chake.

Morogoro School of Journalism                                0713 - 073408
Dar es salaam School of Journalism                          0713 - 552685
Royal college of Tanzania                                          0713 - 390903
  • Blogger Comments
  • Facebook Comments

0 comments:

Item Reviewed: TANGAZO MAALUM KWA WAHITIMU 1997 - 2014 Description: Rating: 5 Reviewed By: Unknown
Scroll to Top