Akiongea na wanafunzi hao meneja masoko wa Benki hio Oscar Awadh Mbode amesema Wameamua kuonga na wanafunzi ili kuona wanawezaje kuwasaidia katika mpango wao wa kufungua Akaunti ya wanafunzi ambacho kimekua kilio cha wanafunzi hao kwa muda mrefu
"Tumekuja kufanikisha suala lenu la akaunti,benki nyingi nchini zimekua na utaratibu mgumu wa kuanzisha akaunti za wanafunzi lakini sisi tumedhamiria kulimaliaza"alisema bwana Mbode
![]() | |||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||
meneja wa masoko exim bank Oscar Mbode akitolea ufafnuzi jambo ofisini 'MOSJOSO' |
"Kwanza kufungua akaunti ni bure,mnachotakiwa kuleta ni barua tu kutoka katika uongozi wa chuo na serikali ya mtaa chuo chenu kinapopatikana,lakini fida nyingineni kuwekea asilimia tano za kiasi kilichopo kila mwisho wa mwaka"alisema bwana Mbode
kwa niaba ya wanafunzi wa chuo hicho Rais wa chuo hicho Amani Christopher aliishukuru benki hio na kuahidi kushirikiana nao katika mchakato huo wa kufungua akauni ya wanafunzi chuoni hapo
0 comments:
Post a Comment