![]() |
Katibu mkuu wa serikali ya wanafunzi msj MOSJOSO akitoa ufafanuzi kuhusu utaratibu wa mawaziri kuapishwa chuoni hapo 19/2/2016 .picha na Timotheo Lupembe |
![]() |
Wanafunzi wa chuo cha uandishi wa habari Morogoro (MSJ) wakifuatilia zoezi la kuapishwa kwa mawaziri wa serikali ya wanafunzi MOSJOSO siku ya ijumaa 19/2/2016.Picha na Timotheo Lupembe |
![]() |
Makamu wa urais (kushoto) Gress Nicholausi akiteta jambo na katibu mkuu Kadiri Ramadhani wakati wa zoezi la kuapishwa mawaziri 19/2/206 .Picha na Timotheo Lupembe |
![]() |
Waziri wa fedha na mipango Stella Patrick akiapa kwa nafasi aliyoteuliwa 19/2/2026.Picha na Timotheo Lupembe |
![]() |
Naibu waziri wa Elimu MSJ Eliasi Eliakhim akila kiapo .picha na Timotheo Lupembe |
![]() |
Mwenyekiti wa Tume ya uchaguzi Chuo cha uandishi wa habari Morogoro Mh Timotheo Lupembe akitoa ufafanuzi wakati wa zoezi la kuapishwa kwa rais na makamu urais 12/2/2016.Picha na Gelvas |
0 comments:
Post a Comment