Habari Mpya

Thursday, June 13, 2013

hakuna aliyeweza kufikiri kama ingekuwa hivi.... ingia ndani ujione kwa undani zaidi na wewe, ujue yaliyojiri... mwanzo hadi Mwisho wa tukio

mwanzo katika maandalizi kabla ya safari

maombi yakiongozwa na Naibu waziri wa ulinzi MSJOSO

TAYARI KWA KUONDOKA

wakaanza kuaga ndugu, jamaa, na marafiki mwanzo wa safari


katika kila jambo lenye Amani furaha utawala pasipokujali ni mkubwa au mdogo atajaribu kuonyesha furaha yake... na hivi ndivyo ilivyokuwa ndani ya gari wakati wa safari ikiendelea

spidi 120

raha ya magari ya kukodisha... mda wowote mkitaka kuchimba dawa ruksa!!!! katikati ya safari RUVU


safari salama chini ya uongozi wa Coordinator of Studies

tukakafika Dar, salama... na kituo cha kwanza cha mafunzo... NEW HABARI COOPARATION

mwenyeji wetu akihakikisha tunatoka na jambo jipya kuhusu gazeti

wenyeji wakisaidiana kujibu maswali magumu toka kwa wana MSJ

tukapelekwa kitengo cha uandaaji wa habari za michezo.....

ndani ya production room, (LAYOUT)

mkuu wa kitengo cha ICT akijitaidi kujibu na kufafanua maswali ya wanachuo

tulimalizia ziara ya gazeti kwa kutembelea waandaji wa gazeti la THE AFRICAN humo full kingereza... ila maswali yakawa kama mvua...

KITUO CHA PILI, CLOUDS MEDIA, dada Joyce akijitaidi kujibu maswali yaliyokuwa yakija kwa mfululizo

ndani ya kitengo cha uandaaji wa vipindi vya video na matangazo... Clouds TV

ufafanuzi wa utumizi wa video Program tofautitofauti

maswali yalikuwa mengi kama watu wamejipanga namna ya kuuliza maswali....

hapa ndipo sehemu ambayo panatengenezewa vipindi vya TV, kwa wanao angaliaga CLOUDs watapajua hapa

duh, ghafla akakatiza BABA JOHNiiii.... na kupigwa na swali la kichwa.. (kwanini anatumika kuharibu lugha ya kiswahi??? kwa kugeuza utamshi wa baadhi ya maneno kama... omeona BHANA!

ilimsumbua sana kujibu swali hilo... ila aliwezakutumia siasa flani kututuliza.. tukapoa kwasababu alikuwa anaingia kuendesha kipindi

waliokutana na rafiki zao tangu enzi ya kindagaten (chekechea) ikawa furaha sana

wataamu wakiwa bize kuonyesha namna ya wao wanavyoanda vipindi na kufanya mambo chroma

kila mmoja akisubiria kama atapata jibu la swali lake alilokuwa nalo kichwani mwake

mwisho wa siku tukamalizia ufukweni kuyaweka  vizuri, mambo tuliyoyapata siku nzima,.... hapa Naibu Waziri waelimu kapata muda wa kupumzika....

huu ni mwonekano wa bahari ya Hindi, katika mji wa Bagamoyo

waliojua kutumia maji ya bahari walionyesha ufundi wao...


hakuna aliyedhania kama huyu mrembo alikuwa anajua kuogelea...

wapo waliyoogelea na walioishia kuchezea maji...

mapozi ya kibaharini ndani ya nguo za ufukweni...


baada ya kutoka kuoga watu wakarefresh mind zao kwa kuburudika na muziki... kabla ya msosi wa jioni

chezea mduara wewe.....

kama utani watu wakaburudika kama wapo club... kumbe mziki wa SIMU


baada ya kuoga.... msosi wa jioni... full kujichagulia... SAMAKI, au KUKU, au NINI we sema utapewa...

wa chips kuku walikuwepo pia


asubuhi kukakuchwa... picha ya mahali tulipo jilaza usiku mzima


he! kwa watu.. kwa watu! ghafla gari likagoma kuwaka na siyo kawaida

sukuma wee..! lakini wapi....

duh! ikabidi tuambizane kwa yeyote aliyechukua au kuokota chochote arudishe kimyakimya pale alipokichukua...

kuja kusukuma... kidogo tu! likawaka na safari ikaanza..

katika makumbusho ya KAOLE... mwongozaji akitupa maelezo kwa ufupi...

wakusikiliza, kurekodi kwa simu nao walikuwa bize kweli... ili wasipitwe na kitu

wakuandika nao haoo...

wa taalamu wa video walijitaidi kwa hali na mali hawakosi tukio...

ziara ikaanzia katika kisima cha maajabu... watu bize kushuhudia...

soma kibao hichi

na hapa ndipo walipozikwa

kaburi la mtabiri

safari kwenda kuona mikoko... katika bandari ya kale ya Kaole..


maelezo kuhusiana na kufa kwa bandari hiyo


soma, kuijua Kaole



kuwasili katika bwawa la mamba


maelezo kuhusiana na Mamba





kanisa lilipoingilia... maelezo kuhusiana na hapo

picha ya pamoja katika kumbukumbu hiyo ya kanisa lilipoingilia


wapo waliojua umuhimu wa sehemu hiyo... na kufanya maombi kwa imani

mbuyu uliopandwa na wahasisi wa kanisa la RC hapa TZ

mahali palipolazwa mwili wa living stone kutokea Zambia... kwa safari ya kwenda Uingereza kwa mazishi yake

jengo la kale la kanisa la RC...

waliotaka ukumbusho

safari ikafikia mwisho... kuwasili katika Chuo Cha Uandishi wa Habari Morogoro

watu wakiawa wanatawanyika makwao

SHUKRANI ZIWAENDE MSJ STAFF, WIZARA YA ELIMU - MOSJOSO, na
WANAFUNZI WOOOTE WA MSJ   2013@
  • Blogger Comments
  • Facebook Comments

0 comments:

Item Reviewed: hakuna aliyeweza kufikiri kama ingekuwa hivi.... ingia ndani ujione kwa undani zaidi na wewe, ujue yaliyojiri... mwanzo hadi Mwisho wa tukio Description: Rating: 5 Reviewed By: Unknown
Scroll to Top